Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
Sidhani kama mleta mada unajitambua kwenye mambo ya jamii na falsafa kwa ujumla.
Hivi mtu mwenye akili timamu unaweza kuleta thread ya kipumbavu namna hii hapa jamvini?
Maisha bora kwa Kila mtanzania
Baada ya matamko mbalimbali ya kuikataa katiba ya chenge na sitta sasa yaanza kuchezewa na watoto na baadae wataifungia vitumbua
Roho inaniuma ccm walivyokula hela nyingi za kutunga hiki kitabu wakati ocean road watu wanakufa kwa kukosa huduma
Sidhani kama mleta mada unajitambua kwenye mambo ya jamii na falsafa kwa ujumla.
Na bado.dhamani ya chenge na siita mbele ya watanzania si kitu tena.