Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
mupenzi,
wenzio hawana sheria...
wako juu ya sheria..
kajenge wewe sasa...asubuhi unakuta bonge la X ukutani...BOMOA!
Hapo kwenye red Mkuu!
Wala siyo BOMOA tu! Huwa wanaandika BOMOWA!! Hili huwa naliona mara kwa mara huku kwetu, sijui huwa wanatumia watu gani kuweka hizo alama?