Mkuu umenichekesha mbaya! Sisi ndio hatuna makuu kila sheikh anakaa kwenye kamjengo kake na sadaka zote nikwa ajili ya msikiti sio tumbo la sheikh.
huko beach alikojenga sheria inaruhusu?
Mch. Mh. Getrude Pangalile Rwakatare kabla ya kuhamia kwenye hekalu lake jipya alikuwa akiishi Mikocheni B katika nyumba ya kifahali pia. Alizidi kukaa katika uwepo wa Mungu na kufanya kazi yake kwa bidii na kujituma. Katika mahubiri yake kwa waumini wake amekuwa akiwatabiria watu mafanikio na watu wamefanikiwa kutokana na utabiri wake. Leo hii imekuwa zamu kwake ambapo Mungu hakutaka kumuabisha kma mtumishi wake, akamshangaza kwa muujiza wa kumuwezesha kujenga jumba la kifahari kwa gaharama kubwa sana,
Nisowachoshe kwa maneno mengi, naomba tuangalie kazi ya Mungu kwa wanadamu.
Source: habari imenukuliwa neno kwa neno na picha zaidi
RUMAFRICA: HEKALU JIPYA LA MCHUNGAJI DK. GETRUDE RWAKATARE KUFUNGULIWA RASMI
Wachungaji wa sasa wanatuaonyesha jinsi ilivyo mbinguni hapahapa duniani, halafu sisi tutadanganywa eti tukifika mbinguni tutapata raha....mbona wao wanakula raha hapahapa? Narudia dini yangu ya asili!!!!!!!!!!!
Sasa huyo mungu badala ya kutuletea Hospitali za kifahari anatuletea hekalu la mtumishi wake? Isije ikawa yeye na mtumishi wake wametumia sadaka zetu!