Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,917
- 1,660
Huu umati wa watu ! Yaani hamna hata haja ya kwenda kwenye vituo vya kura mnashinda kilainiiiiiii!!!!!!!!
Tunatezama wingi wa watu au wingi wa wapiga kura?mrema aliaibika kwa wingi wa watu 1995 kumbe walikuwa hawajajiandikisha kupiga kura mwisho wa cku aliangukia pua,so cha msingi tutezame wing wa watu waliojiandikisha kupiga kura au waliopo kwenye daftar la wapiga kura na mwisho wa cku wajitokeze cku ya kupiga kura na wapige kura kumchagua mgombea wamtakae hapo ndipo ushindi unapopatikana
Tunatezama wingi wa watu au wingi wa wapiga kura?mrema aliaibika kwa wingi wa watu 1995 kumbe walikuwa hawajajiandikisha kupiga kura mwisho wa cku aliangukia pua,so cha msingi tutezame wing wa watu waliojiandikisha kupiga kura au waliopo kwenye daftar la wapiga kura na mwisho wa cku wajitokeze cku ya kupiga kura na wapige kura kumchagua mgombea wamtakae hapo ndipo ushindi unapopatikana
hivi unafananisha 1995 na 2012?
acha kujipa moyo kaka hata kama hawa waliohudhuria wamejiandikisha na 1/10 ya wanaohudhuria kampeni za CDM bado CCM itaangukia pua! endelea kujiliwaza tu....Tunatezama wingi wa watu au wingi wa wapiga kura?mrema aliaibika kwa wingi wa watu 1995 kumbe walikuwa hawajajiandikisha kupiga kura mwisho wa cku aliangukia pua,so cha msingi tutezame wing wa watu waliojiandikisha kupiga kura au waliopo kwenye daftar la wapiga kura na mwisho wa cku wajitokeze cku ya kupiga kura na wapige kura kumchagua mgombea wamtakae hapo ndipo ushindi unapopatikana