Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,933
- 32,342
magamba bana...hawana jipya ni ukanda ukanda tu....mnatia huruma sana;
Chacha Wangwe yupo wapi unajifanya hujui.
magamba bana...hawana jipya ni ukanda ukanda tu....mnatia huruma sana;
tumia kichwa kufikiri mkuu, acha kupofua ubongo wako kwa ajili ya tumbo njaa...Chacha Wangwe yupo wapi unajifanya hujui.
kwa hiyo wewe ndio msemaji wa heche unakunasha kuwa heche ajasema kama anataka kugombea ubunge tarime unaenda mbali zaidi unasema vyombo vya habari ni waongo wanamsingizia...mie sio mtumwa wa vyama vya siasa kama wewe ndio maana unaona nawachana wote, wewe ni mpambe wa kina slaa na mbowe, huna lolote wenye chadema ni watu wa kaskazini...eti unaijenga chadema mbowe na slaa, nao watasemaje wewe kaa hapo usubiri maandamano ndio kazi yako.
tumia kichwa kufikiri mkuu, acha kupofua ubongo wako kwa ajili ya tumbo njaa...
Ritz kama akili yako ingekuwa na akili hizo hasira zako ungezielekeza kwa aliyekutoa katika payrol ya chama cha mabwepande.
Chadema inajengwa na Mimi, Slaa, Mbowe, Mnyika, Heche, Zitto na wengine wengi unaowafahamu na usiowafahamu.
Cd yenu ya udini na ukanda haitoweza kuwasaidia chochote kwani watanzania wameshawastukia. Nani utamdanganya kwamba Mwanza, Mara, Shinyanga, Mbeya, Iringa, Rukwa, Katavi, Morogoro, Mtwara, Ruvuma na Lindi napo ni kaskazini?
Haya ndio madhara ya kuwa kibaraka wa ufisadi akili yako imeshikiliwa na mtu mwingine.
Ujamuuliza vipi wakati mwenyewe kaishasema anataka kugombea ubunge Tarime au unagopa kusema utafukuzwa chama, nidhamu ya uwoga mbaya sana...vipi Zakharia yupo nasikia mnamuogopa Tarime nzima.
Mie binafsi najiweza wala sitegemei mtu yeyote kama wewe kwanza huna uwezo wa kuhoji wala kumkosoa Mbowe, Slaa, Lema, ebu jaribu kuhoji kwa nini M4C inasimamiwa na watu kutoka kaskazini uone kama ujafukuzwa kama Kafulila au wale madiwani wa Arusha, kwenye M4C hakuna Mkurya, Msukuma, Mkinga, Muhaya, Mmakonde, Mgogo, wote uliowataja wanatatumika tu kwenye maandamano.
Sijamuuliza kuhusu hili la ubunge lakini naamini anaweza kuwa mbunge mzuri kama wanavyowezakuwa makamanda wengine toka Tarime.
Bahati nzuri Tarime kuna makamanda majembe ya kutosha.
Hivi Zacharia yupo CDM?Tarime nzima wanamuogopa Zakaria!!!!! Bila shaka unasemewa hili, husemi mwenyewe mkuu! Basi kwa nini kama anatisha namna hiyo hakupewa kura na badala yake akashindwa na John Heche, mwaka 2008! Bila shaka umezoea nidhamu ya uoga wewe ndiyo maana unafikiri na wenzako watakuwa hivyo hivyo! Mambo ya magamba bwana, kazi kweli kweli, ndiyo maana mawaziri karibu wote wanamuogopa Nape. Ajabu kweli kweli!
Ritz kama ungekuwa unajiweza usingekubali kutumika na ccm kwa ujira wa buku mbilimbili kwa kila post. Kwahiyo unajikuta unaandika hata ujinga ili kuongeza idadi ya post.
M4C huifahamu na huwezi kuifahamu kwa sasa hadi akili yako ya kuku itakapokua.
Jinsi akili yako ilivyo ya kuku hata hujui kwamba M4C na operation Sangara zinaongozwa na Wakurya. Lakini kwakuwa hatutangazi makabila hapa ndio maana hawajitangazi.
Shit .... kumbe ni buku mbili tu kwa post .... pamoja na kujidhalilisha kote humu jf
Agrrrrrr x 10000 ... very disgusting
Njaa mbaya sana ...
Ritz kama ungekuwa unajiweza usingekubali kutumika na ccm kwa ujira wa buku mbilimbili kwa kila post. Kwahiyo unajikuta unaandika hata ujinga ili kuongeza idadi ya post.
M4C huifahamu na huwezi kuifahamu kwa sasa hadi akili yako ya kuku itakapokua.
Jinsi akili yako ilivyo ya kuku hata hujui kwamba M4C na operation Sangara zinaongozwa na Wakurya. Lakini kwakuwa hatutangazi makabila hapa ndio maana hawajitangazi.
kwenye hizo pucha sijamuona Heche akiwa na wazee wa kimila. Sijamuona akila kichuri na wasaiga na sijamuona akicheza Iritungu. Amesahau mila? atakosa baraka toka kwa wazee!
kwenye hizo pucha sijamuona Heche akiwa na wazee wa kimila. Sijamuona akila kichuri na wasaiga na sijamuona akicheza Iritungu. Amesahau mila? atakosa baraka toka kwa wazee!