Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Seriously wakiunda tume kuhusu hili najiua!
Nyani Ngabu,
Umenichekesha sana. Lakini hawa watu wanaweza kweli kuunda tume kuchunguza hili.
Seriously wakiunda tume kuhusu hili najiua!
JK hii ni opportunity kufukuza wazembe wote
Boss,
Una habari kuwa client hapo ni NHC?
Yaani jengo la taasisi ya umma linajengwa kiholela hadi linaanguka na kuchukua roho za watu?!
Huyo MD wa NHC ana maelezo gani?
Hasara iliyopatikana nani atafidia?
Boss,
Una habari kuwa client hapo ni NHC?
Yaani jengo la taasisi ya umma linajengwa kiholela hadi linaanguka na kuchukua roho za watu?!
Huyo MD wa NHC ana maelezo gani?
Hasara iliyopatikana nani atafidia?
Seriously wakiunda tume kuhusu hili najiua ![/ QUOTE] Be careful dude.
huyu JAMAA SIJUI NI KWA NINI ALITEULIWA NA MKAPA KUA FOREIGN MINISTER ANGETEULIWA KUA WAZIRI WA MIPASHO HIYO WIZARA NDO INAMFAA LOH USITEGEMEE CHOCHOTE KWANI 2008 JENGO LILIDONDOKA AU KUMBU KUMBU ZANGU AZIKOSAWA ILA NDIO UKWELI WENYEWE