Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
Kimbelembele namuona akielezea kwa JK utafikiri alikuwepo wakati ghorofa linadondoka...lakini nampenda kwani anajua kuishi mjini
...Kovu, sorry KOVA kwa kuuza sura ni balaaa. Jamaa anajua timing ile mbaya....shida yake kubwa anaendeshwa na kuagizwa toka Lumumba....
Kamanda alikuwa Tibaigana, alikuwa haangalii makunyanzi, haangalii "Muadhini wala Mteka Maji Msikitini" kwake yeye, Sheria Kwanza mengine baadae....