Uliposema kuiteka nilitegemea umati mkubwa wa watu!
Mbona waliopo apo ni idadi ndogo sana na wengi ni wanachama wao!
So ni lazima watakuwa wamekusanywa toka maeneo mbalimbali na kuletwa eneo la tukio na POSHO JUU!
Uliposema kuiteka nilitegemea umati mkubwa wa watu!
Mbona waliopo apo ni idadi ndogo sana na wengi ni wanachama wao!
So ni lazima watakuwa wamekusanywa toka maeneo mbalimbali na kuletwa eneo la tukio na POSHO JUU!
mbonaZomba.Ritz.Rejao.Njiwa na pro CCM wengine hawatii neno hapa au wapo sabasaba kusheherekea sikukuuu.?
ninavyowajua watu wa mtwara walivyopauka hapo hakuna wa mtwara hata mmoja.
Itakuwa wamepelekwa na mabasi ya sumri kutoka dar
Uliposema kuiteka nilitegemea umati mkubwa wa watu!
Mbona waliopo apo ni idadi ndogo sana na wengi ni wanachama wao!
So ni lazima watakuwa wamekusanywa toka maeneo mbalimbali na kuletwa eneo la tukio na POSHO JUU!