Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mwanaidi Sinare jana alijimwaga na watanzania wengine kwenye steji kurusha roho wakati bendi ya Jahazi toka Tanzania ilipowapa burudani ya nguvu watanzania waliohudhuria sherehe za miaka 47 ya uhuru wa Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.