picha ya kaburi la kanumba wewe ya nini?
yaleyale ya kumdhalilisha maiti kwa kumpiga picha akiwa chumba cha kuhifadhia maiti
mkuu, yeyote aliyefanya ule upuuzi na kushare kwa publicsikubaliani na alichokifanya hata kidogo.
Maiti akiandaliwa ndio anaweza kuonwa na kila mtu.
Kuweka maiti iliyo mochwari kwenye public ni kitendo cha kipumbavu na kisichojali hata hali ya marehemu....
Waswahili wanapenda sifa za kijinga sana...kwamba amepost kwenye fesibuku au sijui jf!!!