Mawazo mgando ni yale ya kuponda mtu ambae cv yake inaonesha kuwa ni "leader" kuanzia shule, ooppsss, kuanzia wazee wake. Sasa wewe una japo ka 1% ka cv ya Jakaya? Unanchekesha!
[h=2]<label> This message is hidden because FaizaFoxy is on your ignore list. </label>[/h] View PostTeh teh teh teh...... inaonesha wazi hujui unachokishadadia hapa!! Sina uwezo wa kubishana mambo ambayo yako wazi.
Endelea kucheka......
Na hii jee, "wapiganaji mnaziweza?" wapiiii?
MashAllah hata sijda yake ina meremeta kwa nuru aliokuwa nayo!, hebu mpigieni MashAllah na vijicho vyenu vya uhasid.
Na hii jee, "wapiganaji mnaziweza?" wapiiii?
MashAllah hata sijda yake ina meremeta kwa nuru aliokuwa nayo!, hebu mpigieni MashAllah na vijicho vyenu vya uhasid.
Hapo mbele pametuna eee!
Na hii jee, "wapiganaji mnaziweza?" wapiiii?
MashAllah hata sijda yake ina meremeta kwa nuru aliokuwa nayo!, hebu mpigieni MashAllah na vijicho vyenu vya uhasid.
Hapo mbele pametuna eee!
Hivi wewe haswa, unataka kushindana kuvaa na handsome Kikwete? jitu lililoiona dunia kabla yako? linalozunguka dunia kama kiongozi kabla hujazaliwa? Unanchekesha!
Lakini watu mezidi uchokozi jamani, kuchomekea na kuaga. Kwa mtazamo wangu mimi naon rais JK alivaa simple to the extend akaonekana kama mtu wa kawaida.Ndio anaanza safari za kutalii
hii nimeipenda husninyo anatafuta hii kitu