Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo yupo kibiashara zaidi,tena wadada wa namna hii kwa waume za watu ndio kiboko
Kuna thredi kule MMU inayosema weupi wa nguo ni usafi....anaonyesha usafi wake....
...Punguza hasira FL1..wengine tunaburudika na miondoko hiyo...:A S 8::A S 8:Mdada unavaa hivi Unategemea nini?????
duh kigogo....kawaida yako imenitishaaaaaambona mi naona kawaida sana tu
Mdada unavaa hivi Unategemea nini?????
Hhiihiih ihiihi FL ukitembelea south America si utakimbia!!!!! hapo ni Miami full joto:becky::becky:
ha...........ha............ kwani hako ka Trouser angepandisha kakafunika hiyo nguo yake nyeupe ya ndani ni kosa Maria Roza...kizazi hiki kweli siku hizi mwili hauna thamani kwa baadhi ya kina dada ..manyonyo na sehemu mbali mbali zikiwa wazi hakuna tatizo ..
Naona wewe ni wa kawaida vile vilembona mi naona kawaida sana tu
Yuko poa tu bana. In fact angelipiga na kichupi chake pekee... si yuko ndani ya nyumba yake na picha kaweka mwenyewe kwenye blog (sijui yake)?! What's wrong with that?... umri una mruhusu na kafanya kwa ridhaa yake bila kushikiwa pistol. Tunaona mapaja ya Masai mitaani na kwenye daladala, kwere yatoka wapi kwa kitovu na kiuno tu cha huyo mdada?! U-Hawa Ghasia unavuka kipimo sasa!
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comfficeffice" /><o> </o>
Mmmh I can't believe this ! <o></o>