FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Pumzika kwa amani Regia ,na sisi tuko njiani yatupasa kuziandaa njia zetu ili alipo na sisi tuwepo,
tulitoka mavumbini na mavumbini na tutarudi
tulitoka mavumbini na mavumbini na tutarudi
[/RED COLOUR]Sikubalian na wewe.Bwana ametoa bwanaametwaa jina lake lihimidiwe amen
Kusoma tu maandisha iliniuma sana . Kuangalia hizi picha sasa naamii ni kweli imetokea.
Dunia ni nyumba ya kupanga tu, ipo siku tutaungana nawe mahali tunapopaita "Nyumbani kwa baba"
umetupa majonzi mengi kwa kutangulia kwako. Kama ingelikuwa ni uamuzi wetu tungeomba ubaki nasi milele.
Pumziko la milele Regia. Tuliumbwa kwa udongo na tutarudi udongoni. Amen..
The Finest asante kwa picha..