Pumba Mwiko
Member
- Mar 16, 2011
- 71
- 8
Special thanks kwako The Finest pamoja na wanaJF wote mliotwakilisha tuliombali.Inaumiza sana kumpoteza Regia,namuonea huruma pacha wake,wazazi wake,ndugu zake wa karibu na hata rafiki zake,najiuliza kama mimi niliyemfahamu hapa JF nimeumia hivi Je hawa watajwa hali ipoje kwao,hapana inaumiza tena inaumiza na uwezo wakumrudisha hatuna basi Regia nenda nasi tutafuata uendako,kazi uliyoifanya ni kubwa na tunaidhamini.RIP Regia