Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
SHEIKH FARIDI
[h=1][/h]Written by ali a mohamed // 19/10/2012 // Habari // 4 Comments
Asala aleykum mimi naona hawa Usalama wa Taifa kidogo wapelekwe tena shule
wakasome zaidi maana hawajui wanalofanya. Huu mchezo wa kuiga kwa hawa ndugu
zao wa bara kwa kufanya kitendo cha kumteka nyara kama walivyofanya kwa Dk Usumbuko huyu Sheikh Farid ni kitendo cha kuiga na kila mtu anajuwa
Hawa nia yao ni kumsimamisha huyu Sheikh Farid kutokana na msimamo wake pammoja na wananchi wa Zanzibar kuhusu Mungano na kwa maoni yangu wameshtuka sanana hili kongamano la mwisho la kutaka Zanzibar kuwa huru hivyo nia yao ni kwa kuwa huyu ndio kinara basi ni wammalize
Sasa kama ni watu waliosoma sio ambao wamepewa ajira kutokana na ukereketwa wao kwa chama wangelikuwa na njia nzuri sana za kummaliza huyu Sheikh Farid bila ya mtu au wafuasi wake kujuwa na wangelihisi ni kifo cha kawaida tu
Kwani wameshindwa kutumia njia ya sumu kwa kumtilia kwenye chakula au njia wanazotumia KGB za kukumaliza kwa sumu aina za polonia10 na nyengine?
Wangelifikiria njia hizo wangemmaliza bila ya fujo hapa kisiwani leo Lakini jinsi ya ukosefu wa elimu na nini kutokujuwa wanalolifanya leo haya ndio matokeo yake ya vurugu
Elimu ni muhimu nyie usalama bila yakusoma mtajulikana siku zote nini mnalofanya na kama hamuwezi kusoma basi jitahidini japo kuiga
NIACHENI NIPUMUWE