Mimi nilishasema hapa duniani Binadamu wa kiafrika ni kiumbe wa ajabu.Pamoja na historia mbovu ya hawa watu lakini inashangaza katika karne hii ya vizazi vyenye muono wa mbali Mwafrika tena wa hapa Tanzania bado anakasumba ya kutamani aishi kama huyu jamaa.Mbona Mwarabu! WatZ si Weusi?
Mimi sio msemaji wao lakini ....... Hapa Wanaofanya fujo wanatumia kofia ya uislam.... lakini Baraza la waislamu lenyewe ambalo wanahusika moja kwamoja na uislam .... wao wanakanusha na kuwashtumu akina Farid na Ponda na tayari walishatoa taarifa kwa umma kwamba wanaofanya mambo hayo sio waislamu ni wahuni ......tena Mufti alisema Ponda hana hata elimu ya kuitwa Shekh..... bali wanatumia kofia tu kwa maslahi yao binafsi..... wanavamia katika sehemu za starehe kama kwenye mabaa na kuharibu.... lakini wanaondoka na pombeHawa ndugu zetu waislam hata tukisema tuwaachie nchi waishi wenyewe, bado wataanzisha mzozo kama ilivyo Somalia.Watajitokeza watu waanze kudai wanataka waislamu wote wafuate dhehebu la washia.Halafu hawa usalama wa Taifa sijui wako wapi!!.Ama kazi yao ni kuwashughulikia wanasiasa wa upinzani Tu?. Maana hii redio Imani pamoja na Ponda wao maneno wanayoongeaga ni hatari sana kwa Amani ya nchi yetu. ni uchochezi mtupu!1. Hii hali ikiendelea nadhani yatakuja kutokea maafa makubwa sana huko mbeleni. Maana hata sisi wakristu uvumilivu utatushinda
Mimi sio msemaji wao lakini ....... Hapa Wanaofanya fujo wanatumia kofia ya uislam.... lakini Baraza la waislamu lenyewe ambalo wanahusika moja kwamoja na uislam .... wao wanakanusha na kuwashtumu akina Farid na Ponda na tayari walishatoa taarifa kwa umma kwamba wanaofanya mambo hayo sio waislamu ni wahuni ......tena Mufti alisema Ponda hana hata elimu ya kuitwa Shekh..... bali wanatumia kofia tu kwa maslahi yao binafsi..... wanavamia katika sehemu za starehe kama kwenye mabaa na kuharibu.... lakini wanaondoka na pombeHawa ndugu zetu waislam hata tukisema tuwaachie nchi waishi wenyewe, bado wataanzisha mzozo kama ilivyo Somalia.Watajitokeza watu waanze kudai wanataka waislamu wote wafuate dhehebu la washia.Halafu hawa usalama wa Taifa sijui wako wapi!!.Ama kazi yao ni kuwashughulikia wanasiasa wa upinzani Tu?. Maana hii redio Imani pamoja na Ponda wao maneno wanayoongeaga ni hatari sana kwa Amani ya nchi yetu. ni uchochezi mtupu!1. Hii hali ikiendelea nadhani yatakuja kutokea maafa makubwa sana huko mbeleni. Maana hata sisi wakristu uvumilivu utatushinda
View attachment 68459
Sheikh Farid (wa pili kutoka kushoto) ndiye kiongozi wa Uamsho anayeifanya Zanzibar na Tanzania kwa jumla isipate usingizi.
Ndio tatizo lenu...hamtaki kuchanganya na akili zenu....kama umeambiwa Nyerere alikuwa anasamehe watu akiombwa na askofu,wewe hukufanya udadisi wowote....alisamehe wangapi kwa kuombwa na askofu? Yule mshenzi alitoka Cyprus,sasa dadisi nguvu walozonazo maaskofu wakuu wa Orthodox wa Cyprus, Ugiriki na Urusi ndio ujue pale msamaha uliombwa na zaidi ya askofu. Pia...samehe saba mara sabini.Kumbe nyerere alikuwa anasamehe mafisadi baada ya kuombwa na maaskofu?
Mimi nadhani serikali inatakiwa kuwa makini sana kujua ni kitu gani kinatafutwa na kutumia njia nzuri za kuzuia maafa yasiendelee pasipo kuvuruga amani kwa watu ambao hata hili jambo hawalielewi lilivyo
Wazee wa magauni hao
Ndio tatizo lenu...hamtaki kuchanganya na akili zenu....kama umeambiwa Nyerere alikuwa anasamehe watu akiombwa na askofu,wewe hukufanya udadisi wowote....alisamehe wangapi kwa kuombwa na askofu? Yule mshenzi alitoka Cyprus,sasa dadisi nguvu walozonazo maaskofu wakuu wa Orthodox wa Cyprus, Ugiriki na Urusi ndio ujue pale msamaha uliombwa na zaidi ya askofu. Pia...samehe saba mara sabini.
hawa ndugu zetu waislam hata tukisema tuwaachie nchi waishi wenyewe, bado wataanzisha mzozo kama ilivyo somalia.watajitokeza watu waanze kudai wanataka waislamu wote wafuate dhehebu la washia.halafu hawa usalama wa taifa sijui wako wapi!!.ama kazi yao ni kuwashughulikia wanasiasa wa upinzani tu?. Maana hii redio imani pamoja na ponda wao maneno wanayoongeaga ni hatari sana kwa amani ya nchi yetu. Ni uchochezi mtupu!1. Hii hali ikiendelea nadhani yatakuja kutokea maafa makubwa sana huko mbeleni. Maana hata sisi wakristu uvumilivu utatushinda
Kumuendekeza tu, udhaifu wa serikali yetu! Huyu JKN angelimuweka kizuizini akakoma. Amuulize Tuntemeke na yule jamaa aliyesema serikali nimeiweka mfukoni. alitolewa na Askofu makarios baada ya kumpigia magoti JKN