Kwa hapa Tz barabara hatari zaidi ni ile itokayo chimala Mbeya kuelekea Matamba barabara hutoisahau lpo kwenye mlima mkali madereva waliowengi katika mji kama Dar hawawezi kupanda mlima huo,una kona 52,kona maarufu zaidi imepewa jina inaitwa Mwadangala Nikona ambayo ukiwa na roho nyepesi inabidi ufumbe macho,inabonge la korongo ambalo ni matata sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.