ccm hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee:A S-baby:
Msiwe na wasiwasi hali inaendelea vizuri--rejea propaganda za taarifa za Muhimbili janamkuu inasikitisha sana jengo la watoto naona jeupe si vitoto vitakuwa vinajifia tu. muhimbili ambayo watu wanalala chini leo imegeuka ghost hospital na bado kamati ya ulinzi na usalama dar wanasema huduma zinaridhisha!!
NDUGU YETU WILLIAM ANASEMA KATI YA VIJANA WA CCM MMOJA HUYU HAPA KWENYE PICHA NDIO WANAFANYA MUHIMBILI KUWA
INAFANYA KAZI... LAKINI WODI NYINGI NI EMPY; SASA SIJUI WAKO WAPI KWENYE MAENEO YA MUHIMBILI
Mr. Kasesela
BY William J. Malecela
CCM SIKU ZOTE INA VIONGOZI WA KESHO NA HUYU NI MMOJA WAPO WA WANAOIFANYA MUHIMBILI HOSPITAL SASA HIVI IENDELEE, HASA KULE MOI!! KIDUMU CCM!! - LE MUTUZ!!
Walienda uwanja wa ndege: