Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,436
- 4,151
Muungwana anaonekana yeye kwake mambo shwari; hasumbuliwi na kitu. Makamba naye ki-hamnazo yote kwake ni burdan tu. Karume kaja kikazi na ajenda maalum. Mzee ruksa anataka kutoa usemi/methali mpya-naye haoni taab kabisa. Wengine kwa ujumla wapo hapo basi tu wafanyeje? Naona kwa mbali mzee wa vijisenti kama anahuzunika vile. Bila shaka (kwa wenye intelijensi makini) dhamira zao zinawapasha kwamba hapo mahala ni UNAFIKI MTUPU!