washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 717
Mbona suti ya J4 imeliwa na mchwa?
Maskini, mdogo wangu Nyerere! Kifo hakina huruma. RIP Julius.
Mkuu kama kweli then wewe ni kikongwe pitiliza.. utakuwa kwenye 90+.. Kama c kweli itakuwa ni dharau kwanza kwa mkubwa wako.. pili kwa kiongozi wako na tatu kwa Marehemu..
Nyerere ni "mdogo wangu" kimila na desturi. Yeye alikuwa mtani wetu mzuri sana. Uliza usimuliwe stori ya marehemu Batenga alivyosomba tofali za Nyerere pale kwake Msasani. Umenielewa?
Inanikumbusha mzee aliyeichukia rushwa na uhujumu uchumi (ufisadi) kwa vitendo na bila unafiki. Baba wa Taifa aliyelipenda Taifa lake. Maskini akakosa support kutoka kwa watu wake. R.I.P Julius.