Sugu akitoa salaam
Watu ni wengi sana.....jua ni kali lakini hakuna anayelijali....
Jeneza la mpendwa wetu......
Waombolezaji wakizidi kusogea eneo la msiba.....
Sugu akitoa salaam
Umati wa watu makaburini
Ni sawa tuu.....sio tatizooo burial ceremonsNi sherehe ya mazishi mkuu!
Mbona hili kaburi liko tofauti?
Jamani hii "gesture" ya Mh Sugu kukamata "packet" mbele ya Kanumba (R.I.P.) inamaanisha nini?[/COLOR]
Sugu akitoa salaa
Sasa CCM na Serikali yake wakitaka kujuwa tatizo la ajira lilivyoiathiri nchi hii waangalie hayo maudhurio ya msiba wa Kanumba na leo ni siku ya kazi.
Hivi nguvu kazi hii yote kweli ilipaswa kuwepo hapo kweli? Nina uhakika hapo nusu ni waombolezaji wa kweli na nusu ni wale hata zikipita mbio za mwenge nao huunga tela.
asante kwakazi nzuri mamiii!!pamoja kamanda.....
Mazoea nikilema!!tabia nikama ngozi mkuu!!Jamani hii "gesture" ya Mh Sugu kukamata "packet" mbele ya Kanumba (R.I.P.) inamaanisha nini?
Hata mimi nimeshangaa hapa kuhusu hili kaburi na nliloliona pichani
Jamani hii "gesture" ya Mh Sugu kukamata "packet" mbele ya Kanumba (R.I.P.) inamaanisha nini?
Unaposikia mwanadamu amemchinja mwanadamu mwenzake...usishangae ni watu kama hawa..