Kwani ilikua ni wish yake azikwe kinondoni???kwani ilikua ni wish yake kuwa azikwe na feni...................?au wewe ndio unatamani wamuwekee feni?
Wewe utahitaji feni kaburini kwako....................?
Hapana tanesco wamesema wameishiwa mita za luku.
Kampuni gani ilipewa tenda ya kujenga hili hekalu???
Ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa_ogopa kifo wewe!Duniani Tunapita!Eeh Mungu nipe maisha marefu,niwaone watoto wa vitukuu wangu
wee mwanamke vipi................kama haikuhusu hicho kiherehere cha kujibu wa kwanza umekitoa wapi?....
Rip the great
NA HAPA NDIO WAKATI MWILI WA Bwana Kanumba ulipokua unaingizwa Kaburuni usu saa iliyopita