Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
mhh JF nayo??? mazishi ni sherehe pungauni wewe.....sio shughuli.....Kibonde katoa kali(Kasema sasa mkuu wa sherehe baada ya kusema mkuu wa shughuli ya leo)
mhh JF nayo??? mazishi ni sherehe pungauni wewe.....sio shughuli.....Kibonde katoa kali(Kasema sasa mkuu wa sherehe baada ya kusema mkuu wa shughuli ya leo)
Kibonde katoa kali(Kasema sasa mkuu wa sherehe baada ya kusema mkuu wa shughuli ya leo)
Hakuna walichoshindwa waandaji mkuu, ila hawakuelewa kwamba idadi ya watu wasiokuwa na shughuli za kufanya imeongezeka maradufu!!Msiba huu umwewashinda waandaaji
Ni Burial Ceremony.Hakukosea hata kidogo,ukiwasikia wazungu wanavyoita hii shughuri unaweza ukachanganyikiwa.
harusi tunasema wedding ceremony!msiba ni burial ceremony!bado yupo ktk mstari mkuu!
Preta , unapiga hizi picha kwa simu ya Tecno nini!
By the way, hongera kwa kuwakilisha!...una mauchungu sana aisee!
Mimi huwa siifagilii sana ile Saibaba inayoondoka saa 6 mchana huku A-Town?...kumbe ulifika nayo fresh Dar!
Preta , unapiga hizi picha kwa simu ya Tecno nini!
By the way, hongera kwa kuwakilisha!...una mauchungu sana aisee!
Mimi huwa siifagilii sana ile Saibaba inayoondoka saa 6 mchana huku A-Town?...kumbe ulifika nayo fresh Dar!