MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 510
yaaani hawa ffu WAKATI NAISHI Ukonga miaka ya 90, walikua wananipiga sana mizinga ya bia, ni maskini sana, lakini wanatumika kunyanyasa wanaopigania maslahi yao, inasikitisha sana
Very controversial, they should be ashamed of themselves!