PICHA:Heche anywea FFU watanda njia ya kimara Ubungo..

Aisee I hate this gesh kwanza wao wenyewe maisha yao afadhali ya mpiga debe wa Ubungo malazi tabu,kula tabu,watoto wao kusoma tabu wanakaa kuwadhibiti watu ambao maisha yao afadhali wameamua kutetea wanyonge kwanza huyu Kova anafukuziaq ukuu wa jeshi lapilisi nchini nini maana kila wakati namuona yupo mbele front kuzuia maandamano ya watu kwa kutekeleza agizo la magamba asomi alama za nyakati kuwa muda wa Magamba kufika ukingoni umefikaq sasa sijui nae keshaanda makazi nchi za watu au anataka sifa tu kwani police is not proffesional ukistaafu unarudi uswasi kusugua benchi na CCM wanayoitetea is lo longer active anytime wanaaga mashindano watu tupo milioni 40 magamba yapo milioni 5 watu hatuna vyama lakini for CCM hapana waende wakapumzike tu 2015 chama ni kichafu hata kama baadhi ni wazuru btu wapo kwenye uchafu automatically nao ni wachafu uwezi kuweka sahani ya wali kwenye pipa la uchafu ukamwambia mtu pipa tu chafu ila hii sahani ya wali ni safi kula.Police viapo vyenu vinawaweka kwenye umasikini ambao hamtohusahau maishani mwenu angalieni hapo mlipo wote ni wale mliochoka kimaisha wakubwa wanawatuma wao hawapo hapo ikitokea zali hapo wanawasahau na kuzipa familia zenu kifuta jasho cha sh laki moja kama umesoma upo hapo nakusikitikia you are the iron boy also?Poleni maana hamjui mtendalo alafu acheni kuwa ombaomba mnapolinda bank mnabuguzi wateja maana mmekuwa kero,Wekeni zenu bank kama mnazo maana mmekuwa wafuasi wa magamba kama watu wa kiji9jini nyumba ya nyasi juu bendera mpya ya CCM.Kazi njema siku hizi hatuandamani kwa msafara tunaandamana kisomi mtabaki hapo mnapigwa juwa sisi tunakula zetu viyoyozi na kupanga mikakati ya kuking'oa Magamba madarakani.Wanaogopa maandamano kama nini waambieni lipo jeshi kubwa la wanafunzi wa kata na vyuo vikuu ambalo hawana kazi wajipange maana imekula kwao.Tchao
 
Nafikir kuna haja ya kuangalia uwezo wa wana funzi wanaodahiliwa vyuo vya ulinz &usalama like jkt,jwtz etc.tatizo ni kwamba wengi ni f4 failures!
 
ff1.jpg
ff.jpg

Inasikitisha kuwa nguvu fedha na hasa fedha hizi zetu walipwa kodi wa taifa hili kutumiwa kutunyanyasa kutudhalilisha sisi sisi tunazitoa inaniuma sana kwani katika suala la kuandamana tunachodai ni kile wao wanachokizuia kupitia siasa za walio madarakani hivi leo hata mtu anayefanya kazi zake binafsi anafungiwa kisa kuna wakubwa wanataka kufanya ile biashara ukienda kwenye ajira wakitangaza ni kuwaridhisha hao PCCCB kwamba na wenye vihehere vya kujua mambo yalivyo nani kaletwa na nani ili wapigwe stop

mimi naumizwa sana na police hawa wadogo kutenda kwa kuwa wakubwa zao wana waagiza kufanya hivyo kwani police hawa wadogo huomba kazi na kuajiriwa lakini ili uwe RPC lazima uteuliwe na IGP na ili uwe IGP lazima uteuliwa na boss wako ambaye ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ili uendelee lazima uache kulinda usalama wa raia ulinde maslahi ya aliyekuteua bila hata kufikiri hata kidogo aina ya ulinzi unaotoa kwa matakwa ya nani na kwa nini unaacha matakwa ya katika unalinda matakwa ya mtu kwa kutumia hela zetu za walipa kodi kwa matumizi mabaya kupita maelezo bila ya huruma

tumeona matumizi ya mabomu ya machozi magari ya maji ya kuwacha yakitumiwa kuwanyima wananchi uhuru wao wa kuzungumza mimi bado namsifu Mwalimu kwani pale mwaka 1995 Mrema aliposukumwa kwenye gari alisemama kidete akasema mwacheni asukumwe kwani ni watanzania wamependa kufanya hivyo na hakuna gharama za fedha zetu ziliokolewa na akili ya kizalendo ya marehemu Mwalimu wetu ila kwa viongozi tulio nao leo kwa kuwa wameacha maadili ya uongozi walichoapa walichokisema hawana uthubutu wa kuona tonafanya maandamano na hata kama ikitokea basi itakuwa ni ya kusukuma gari la katibu mkuu JAIRO na siyo kwa ajili ya kudai haki ila ni kwa ajili ya yetu watanzania tulio wengi

mimi natumai nina hasira sana na kila mwananchi mwenye akili timamu ana hasira sana na serikali hii na hivyo itakuwa je leo tukiweza kupewa uhuru wa kutoa maoni sahihi na tume huru ya uchaguzi wa kuwa huru na kuheshimiwa huku kuheshimiwa nina maana kwa kuanzia viongozi wenye madaraka kuacha matumizi mabovu ya kodi zetu za kununulia magari na mabomu ya machozi ukienda polisi kuripoti uhalifua hawana karatasi ya kuandika hawana kalamu hawana mafuta askari ni wachache nk.
 
Nafikir kuna haja ya kuangalia uwezo wa wana funzi wanaodahiliwa vyuo vya ulinz &usalama like jkt,jwtz etc.tatizo ni kwamba wengi ni f4 failures! So most of them they indecisive &irrational
 
nachukizwa na hali inayoendelea sasa tunajaribu kulinda amani kwa gharama kubwa
 
Their days are numbered,Let's wait n' see,changes are inevitable no matter what FFU will be prepared themself to hinder people's power
 
hao ni vijana wachace, waanze maandamano waijue maana ya FFU kwa ukamilifu wake.
Da mzee na wewe police nini pole sana maana naokuona unavyoshindwa kuimudu familia yako mke na watoto kwenye mlo tu wa kila siku,Kwa nini usitoke utafute dili nyingine kaka
 
Kuna jamaa zangu nawafahamu nimemaliza nao first degree wakivaa haya magwanda wakiniona wananikwepa ila wakiwa kiraia wananisalimia na mara nyingi nawaona kwenye doria wao hawanioni sasa sijui wanaona aibu au vipi ndiyo hivyo si umeingia mwenyewe kwa kuwa na matumaini makubwa kumbe umepotea njia tatizo sasa watu wanafikiri ukiwa na degree ukijiunga na jeshi direct ni afsa no lazima kwanza uwalinde wazee Masaki,Osterbay,Banks n.k hauna tofauti na yule Masai aliyetoka Longido kuja kuwalinda wenye pesa zao tofauti inakuwa wewe una mavazi rasmi tu.Da yaani mke wako alale peke yake we ukamlinde mwanaume mwenzako ambaye umemzidi elimu ndiyo maana ndoa zao zina migogoro kishenzi unaenda kulinda bosi anakuzunguka kwa wife wako Inauma sana kwa kweli.Haya bana walindeni hao mawaziri maana ndiyo kazi mliyoomba na nyumaba zile za Mabati wamewajengea zingine maana ule mgao wa umeme uliyekuwepo kipindi kile sijui kama mlikuwa mnaenjoy bby tha way mlikuwa hamlali ndani mnalala lindo sasa mlikuwa mnatesa familia mjue
 
Hapa ndipo huwa najiuliza wakati mwingine,polisi wote hawa na silaha zote hizi ni kwa ajili ya nini?Kama mtu anapita barabarani bila kufanya lolote kuna haja gani ya kutumia nguvu zote hizi kwa ajili ya watu wanaotaka kuleleza hisia zao?
Nimegundua kuwa serikali yetu inayaogopa sana maandamano baada ya kuona mifano nchi nyingine yalipotumika kuwaondoa watawala.
Nimemsikia waziri mkuu akisema kuwa maandamano yanawafanya washindwe kufanya kazi au kila mara peoples....power,inawanyima usingizi hii kauli maana wanajua tu wananchi wakihamasika nchi haitawaliki.

Possibly they are leading us without our consent in other words they have colonized us mentally
 
vuguvugu huanza hivi. hata huko kwenye maandamano kila siku huwa kuna polisi etc. ni kuendeleza tu na nia njema
 
hapo najiuliza cdm wakiwa wanatangaza maandamano kila wiki mara moja vijana wengi sana mitaani watapata ajira ffu.
hongera cdm kwa ubunifu wa kuwasaidia vijana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom