PICHA: Hawa ndio waliomuua mwandishi wa Channel Ten (Daudi Mwangosi) huko Iringa

Mungu atatulipia muda si mrefu. Sidhani kama kuna kitu cha kusubiri we need to act now. watuue wote tu mbwa na washenzi wakubwa makafiri na maruhani walaanifu hawa wamelaaniwa wao na kazi zao. Nguruwe wakubwa hawa
 
Jamani hizi picha ninazituma BBC na CNN ili ulimwengu wote ushuudie jinsi polisi wa Tz wasivyo heshimu haki za binadamu na kazi za waandishi wa habari kwa ujumla!
 
Askari saba wanamshambulia mtu mmoja asiye na silaha yeyote zaidi ya kitendea kazi chake(camera).
Na yawezekana kabisa lengo la kumshambulia mpaka kumuua ni kuharibu ushahidi wa picha alizokuwa amekwisha wapiga! Wasijue kuna mwingine anawapiga picha.

Kama waziri wa mambo ya ndani anapenda mustakabali wake wa kisiasa, AACHIE NGAZI MARA MOJA, Na kama RAIS anawapenda raia wake: AWAFUTE KAZI (kama hawatajuhuzuru wenyewe) wafuatao:
1. WAZIRI WA MAMBO YA NDANI,
2. IGP,
3. MWENYEKITI WA ULINZI NA USALAMA MKOA WA IRINGA,
5. RPC IRINGA.

Na kama Rais hatofanya hivyo basi na yeye apelekwe the hague! Haya si mambo ya kuvumilia hata kidogo! Vinginevyo tuseme hii ni nchi ya kidictecta, haina utawala bora wala haiheshimu haki za binadamu!
 
Ni wazi watataka kupotosha, video ya tukio zima itawekwa YouTube.

Kama waandishi hatutashirikiana katika hili, naachana rasmi na tasnia hii.

Kaka nakushauri uwe na so many copies na kama vipi upload kabisa Youtube, wanaweza kukuibia hizo copy za video.. fanya fasta kaka!!
 
Nimewachukia polisi kishnzi lakini hii inatokana na viongozi ndani ya ccm hawa polisi wanatumiwa kundi fulani la wanafiki hata ukisikilza habari zao utawajua na kuanzia leo siifungui tena blog ya michuzi ni ya kinafik kwa sababu jk na wapambe wake ndio blog wanayoiangalia hii habari haipo
 
attachment.php


Hapa inaonekana Ndugu Mwangosi alikuwa anajitetea kwa kumng'ang'ania huyu askari mwenye kirungu(amemkumbatia), kwa kifupi lazima ameuwawa kwa order kabisa.

Halafu hawa askari kulia mbona wanasukumana (mwenye kofia nyekundu kama anasukumwa, au ndiye aliyejeruhiwa alikuwa anamtetea nini marehemu?) Yaani ni kama hawakuelewana hivi hawa askari namna nzuri ya kumuua.

Watu wa Iringa tunazo taarifa za kutafutwa muda mrefu sana huyu mwandishi. Kuna siku moja aliwahi fuatwa nyumbani kwake kusachiwa bahati nzuri hakuwepo. Wadau fuatilieni kwa makini. Huyu hajauwawa kwa sababu ya Chadema ila ni kisa cha muda mrefu. Ndio maana utaona katika picha askari zaidi ya Sita na Silaha Kali dhidi ya Ka-mwandishi kamoja kenye Camera TUU!!!!!!

So sad 4 real.Utawala wa Muislam lazima uende na mwandishi yeyote yule mashuhuri.Mwinyi na Katabalo JK na Mwangosi.

R.I.P Daudi.
 
Hakika nguvu yote? Bado wamemuua.....................huu ni mwisho wa mauaji yanayotekelezwa na polisi. Hima wanannchi , hima wanaandishi wa habari hii ni vita dhidi ya serikali na vyombo vyake vya dola kama polisi na mahakama ambavyo kila kukicha wanawaonea wanyonge.
 
Hapana, uume wake marehemu unaonekana kwenye picha. Ni mbaya, haipendezi kwenye public domain. Sitofanya kumfurahisha mtu, ni vyema kuzingatia nilichoahidi kukisimamia.

Mkuu.
Unaweza kuziba sehemu ya siri ya hiyo picha na kuirusha hapa jukwaani, lazima tuwaonyeshe watawala madharimu kuwa kama wao wakificha sisi tuna vyombo vya kutupa ukweli ili mwisho wa siku waaibike kwa uwongo wao kama suleko!

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 
Jamani hizi picha ninazituma BBC na CNN ili ulimwengu wote ushuudie jinsi polisi wa Tz wasivyo heshimu haki za binadamu na kazi za waandishi wa habari kwa ujumla!

Tuma ndugu........hili wala sio la kunyamaziwa.
 
Polisi wanatakiwa kukutana na nguvu ya umma sasa. Hili wanaloendelea kufanya halivumiliki.
 
jakaya mrisho kikwete sio raisi wangu. Ni muuaji, kwa kutumia vyombo vyake vya dola!!!!!!
 
N00B
Kwanini usiweke picha full, hii itasaidia kuweka ukweli halisi! tunamheshimu marehemu lakini ukiweka picha kamili, bila kukata utakuwa umemheshimu zaidi yeye kama mwandishi wa habari mwenzako.
 
Hapana, uume wake marehemu unaonekana kwenye picha. Ni mbaya, haipendezi kwenye public domain. Sitofanya kumfurahisha mtu, ni vyema kuzingatia nilichoahidi kukisimamia.

mkuu samahani,mimi naomba utueleze basi ilikuwaje mpaka wakamweka pembeni nakuanza kumshugulikia hivo? alifanya kosa gani? je ilikuwaje mpaka wakapiga na hiyo bunduki hapo? samahani sana mkuu! ntashukuru kama utarudi!
 
Marehemu anaonekana akimkumbatia askari kiunoni na si kukamata silaha.Askari wote hao na bado wakamlipuwa?Tis is too much na huu ndo mwisho wenu!
Subiri kwenye ripoti yao, watasema "marehemu alikuwa anataka kumnyang'anya FFU silaha, silaha ikafyatuka wakati wa kuigombania."
 
Back
Top Bottom