Chakunyuma
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 810
- 152
Inatisha mtu hana hatia mnam-treat kinyama namna hii sio haki kabisa.
Sawa, nimeziweka lakini nikifungiwa niteteeni
Ok
Wewe ni mod? Wakinifungia mnitetee.
Kuna haja ya kuomba ruhusa.
Vitendo kama hivi ni vya kulaani, PM sijui inatumwaje. Mimi si mvuta bhangi, nilikuwa eneo la tukio na nimeshuhudia kilichotokea.
naona huyo askar az if anapull trigger at point black range-hawez kosa mtu hapo
Huyu askari alimwelekezea mtutu tumboni na kumsambaratisha marehemu. Ni wazi watu wa Iringa wanamfahamu askari huyu.
Vitendo kama hivi ni vya kulaani, PM sijui inatumwaje. Mimi si mvuta bhangi, nilikuwa eneo la tukio na nimeshuhudia kilichotokea.
Ukifungiwa jf hujafungiwa peponi nadhani itakuwa umefungiwa motoni weka baba au ndio hao akina mura hapo juu???
Marehemu anaonekana akimkumbatia askari kiunoni huku kamera yake ikiwa bado mkononi, na si kukamata silaha.Askari wote hao na bado wakamlipuwa?This is too much na huu ndo mwisho wenu!Pole sikuwa namaanisha bangi ila moshi wa mabomu. Hiyo picha yako itakuwa ni diffence ya polisi, marehemu anaonekana kakamata silaha ya askari.