Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Watu washakula ubwabwa tangu J,mosi we uko dunia gani?ndoa vp
Watu washakula ubwabwa tangu J,mosi we uko dunia gani?ndoa vp
naona 2015 ni mbali mno, Dr. kwanini usichukue maamuzi mazito? watamaliza kila kitu hawa mafisadi.
Nisamehe Mkuu, nilikurupuka...
haya mateso nnayopata tu huku mtaani ni zaidi ya yale ya Mabwepande, na yote haya yanasababishwa na serikali hii DHAIFU ya JK na mafisadi. sina sababu ya kuogopa msitu huo. nnachoogopa ni JEHANAM tu.
Duuuu ndugu msitu wa mabwepande haujafyekwa bado khooooo