utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Nimefurahiswa na habari za Sinhgida kwa sbb huko ndio nyumbani kwa CCM na umaskini ,kama wameamka hongra sana ,baba,mama,kaka ,wajomba ,wadogo zangu SAA YA UKOMBOZI IMEWADIA
TBC wameonyesha mkutano wa Dr. Slaa akiwa Singida. Picha ya mkutano huo wameichakachua na wala hawakuonyesha kama kulikuwepo na umati wa watu mkubwa namna hii. Jamani wenye uwezo hakikisheni picha hizi zinayafikia magezeti ya kesho ili zitumike na kuondoa dhana kwamba mkutano ule haukuwa wa watu.
CCM wanatumia kila kilichoko mbele yao kuchakachua na kuonyesha kuwa Dr. Slaa hakubaliki wakati yeye ndiye kipenzi cha watanzania kwa hivi sasa.
hawa watu wanvipicha vyao viwili vitatu, ndio watapongezana humooo mpa asubuhi. Sehemu nyingine ni chafu tu, hawana kitu.
Kama mimi nadanganya waambie waonyeshe zile za mtwara, lindi, songea na mbeya ni aibu tupu.
Kwenye mtandao nyie ushindi chukueni, lakini mitaani waachieni ccm no 1.
hAWA WATU WANVIPICHA VYAO VIWILI VITATU, ndio watapongezana humooo mpa asubuhi. Sehemu nyingine ni chafu tu, hawana kitu.
Kama mimi nadanganya waambie waonyeshe zile za Mtwara, Lindi, Songea na Mbeya ni aibu tupu.
KWENYE MTANDAO NYIE USHINDI CHUKUENI, LAKINI MITAANI WAACHIENI CCM NO 1.