safi sana wakuu naona ngoma inogile haswaaaa, kidogo nimefarijika kwa hii picha maana ya Tunduma yameninyima raha. But lets keep fighting! wa 16 tupe taarifa mkuu.
Mwaka huu CCM hawana chao. Watu walishachoka na chama cha wezi wa maliasili zetu na kodi zetu.
Ukiwaangalia hao polisi mioyoni wanasema "mwaka huu tunakupa kura zetu, tumechoka na CCM inayotulaza kwenye nyumba za bati kuanzia kwenye msingi hadi paa na joto hili na kimshahara cha noti 17."
KWENYE MTANDAO NYIE USHINDI CHUKUENI, LAKINI MITAANI WAACHIENI CCM NO 1.
Ni wekli hata mimi imenishangaza sana niliyoiona TBC nikajua singida ni kwa ccm kumbe watu wenye akili zao wapo bwana!asante mugumu kwa picha ila tbc wameonyesha tofauti, yaani wamechakachua
we kidoogo haunazo, kwa taalifa yako picha za MBEYA na SONGEA tumeziona alifunika mbaya! tafuta humu jf zipo picha hizo shame on you!hAWA WATU WANVIPICHA VYAO VIWILI VITATU, ndio watapongezana humooo mpa asubuhi. Sehemu nyingine ni chafu tu, hawana kitu.
Kama mimi nadanganya waambie waonyeshe zile za Mtwara, Lindi, Songea na Mbeya ni aibu tupu.
KWENYE MTANDAO NYIE USHINDI CHUKUENI, LAKINI MITAANI WAACHIENI CCM NO 1.
hAWA WATU WANVIPICHA VYAO VIWILI VITATU, ndio watapongezana humooo mpa asubuhi. Sehemu nyingine ni chafu tu, hawana kitu.
Kama mimi nadanganya waambie waonyeshe zile za Mtwara, Lindi, Songea na Mbeya ni aibu tupu.
KWENYE MTANDAO NYIE USHINDI CHUKUENI, LAKINI MITAANI WAACHIENI CCM NO 1.
hAWA WATU WANVIPICHA VYAO VIWILI VITATU, ndio watapongezana humooo mpa asubuhi. Sehemu nyingine ni chafu tu, hawana kitu.
Kama mimi nadanganya waambie waonyeshe zile za Mtwara, Lindi, Songea na Mbeya ni aibu tupu.
KWENYE MTANDAO NYIE USHINDI CHUKUENI, LAKINI MITAANI WAACHIENI CCM NO 1.
hAWA WATU WANVIPICHA VYAO VIWILI VITATU, ndio watapongezana humooo mpa asubuhi. Sehemu nyingine ni chafu tu, hawana kitu.
Kama mimi nadanganya waambie waonyeshe zile za Mtwara, Lindi, Songea na Mbeya ni aibu tupu.
KWENYE MTANDAO NYIE USHINDI CHUKUENI, LAKINI MITAANI WAACHIENI CCM NO 1.