TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,511
- 11,271
Mkuu, mbona yote uliyouliza ameeleza vizuri kabisa? Au mimi nina upeo mdogo wa kuelewa alichoandika Slaa? Ngoja nirudie kusoma ...
hajaelezea ilivyokuwa, bali amegusia tu..
Mkuu, mbona yote uliyouliza ameeleza vizuri kabisa? Au mimi nina upeo mdogo wa kuelewa alichoandika Slaa? Ngoja nirudie kusoma ...
Slaa ni mnafiki, hana lolote.
View attachment 49079
Hapa ilikuwa kabla prof.Lipumba kuwasili,ilimbidi abadilishe njia kwani nyingi zilikuwa zimejaa wafuasi wa CUF,aliteremka na kusabahi.
Dr Slaa alikuwa hana ulinzi wowote? nauliza tu maana nimeona ka mtu kama Topical hivi nyuma yake...!