Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
- Thread starter
- #41
Kwani nani amesema akiishi humo atamsahau Muumba wake? Kama binadamu wote wangekuwa na mawazo kama yakwako, Dunia ingekuwa bado inagaragara kwenye karne ya kwanza kimaendeleo.
Umesema kweli tupu.
Aliyefanya yote hayo yafikie yalipo katika maendeleo ni Mungu, na ni Mungu huyo huyo atakaya kuhukumu kwa kutotumia akili aliyokuwa kuendeleza ulimwengu.