Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,620
- 5,510
Sawa hao machangu,wewe gasho...Hata Ray Kigosi na maji yake ya weupe nayo iligeuka movement. Tumekuwa kama taifa la wajinga. Na wengine hapa ni machangu na hii ni nafasi nzuri ya kutafuta wateja. Kama huyo Jessica bila shaka atapata mabuzi kibao!