Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
Huo muda uliopoteza hapa na ule utakaowapotezea wengine kwa kuangalia hii tungekuwa tumefanya mambo ya kujenga nchi tungekuwa tumepiga angalau nusu hatua ya tulipo sasa
Issue sio muda wangu tu hata wako kama unaopoteza badala ya kufanya vitu positive basi hio bado ni hasara kwa communityUkitaka kujenga nchi, fanyakazi lipa kodi, usije humu JF kulialia watu wanakupotezea muda.
Issue sio muda wangu tu hata wako kama unaopoteza badala ya kufanya vitu positive basi hio bado ni hasara kwa community