PICHA: CHADEMA 'wauteka' mji wa Arusha

Sishangai kuona huo umati, kwa miaka kumi mmekuwa mkikusanya idadi kubwa ya watu kwenye mikutano yenu!
Watu wanapenda tu kuja kusikia pumba zenu! Hawakubaliani na mnachoongea, ndio maana kila uchaguzi mnagaragazwa vibaya na CCM.

Ulicho andika na nafsi yako vinapingana, siku zote nafsi iko sahii kama ni ushindi mmekuwa mkipata wa mezani (kuchakachua), huwezi kukusanya maelfu kuja kusikiliza pumba labda mwendawazimu atakubaliana na wewe.

Na je werevu ndio wale ambao huletwa kwa kubebwa na magari na kupewa 5000 na kusikiliza point za nguvu? Nafurahi kila mtu ana nafsi na yakwako inakusuta..!
 
Sishangai kuona huo umati, kwa miaka kumi mmekuwa mkikusanya idadi kubwa ya watu kwenye mikutano yenu!<br />
Watu wanapenda tu kuja kusikia pumba zenu! Hawakubaliani na mnachoongea, ndio maana kila uchaguzi mnagaragazwa vibaya na CCM.

Kwani wanashinda kihalali hao zaidi ya kuiba kura???stop talking nonsense
 
kamanda mwaluko pankras ndejembi amerudisha kadi ya gamba leo.
sijawahi kufurahi kama leo,wana arusha leo wameitendea haki demokrasia.mgombea udiwani kata ya elerai kwa tkt ya ccm karudisha gamba lao.
 
hii ni noma kaka, CDM ni soo mbaya, usipime mkuu, hili ndilo chama la wajanja. hao wote wamekwenda wenyewe hawakubebwa na mafuso. i am proud to be a member of CHADEMA
 
cdm wanatiosha mkubwa huo umati si wa kitoto hata magamba wakae mwezi mzima wakisomba watu vijijini hawawezi kuufikia.peopleeeeeiizz powerr
 
WAKUU KWA KIFUPI WAMEWACHANA WAKINA MKUU WA KAYA NA MTOTO WA MKULIMA<br />
<font size="4"><br />
1.<font color="#ff0000"> imewekwa CD ya yule diwani aliye fukuzwa alipo kuwa akiwasiliana na polisi ili awape hongo polisi wazuie mikutano ya chadema jijini A town.<br />
<br />
2. DR KAWACHANA WAZIRI MKUU KWAMBA NI MUONGO SANA NA ANAO WALAKA KAMA KAWAIDA WAKUTOKA KWA IGP KWENDA KWA MAKAMANDA WA POLISI WA MIKOA YOTE WAKIAGIZWA WAWAOMBE PILISI RADHI NA WAWATULIZE POLISI KWA KITENDO CHA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KUDANGANYA TAIFA KWAMBA POLISI WANALIPWA POSHO YA 150,000 KUMBE UKWELI NI 100000.<br />
<br />
3. Dr AMEDAI KUNA BAADHI YA POLISI WAMEANZA KUKAMATWA KWA KUDAI POSHO YA 150,000 KAMA ILIVYO TANGAZWA BUNGENI<br />
<br />
4. KAMANDA MBOWE NAYE KAMCHANA PINDA KWAMBA ANAONGOZA KWA KUDANGANYA BUNGE AKITOA MFANO WA LEO ASUBUHI WA MASWALI YA PAPO KWA PAPO<br />
<br />
5. KAMANDA AMWESEMA CHADEMA WAMETOA SIKU 30 MGOGORO UMALIZWE LA SIVYO LINAANZISHWA TENA.<br />
<br />
6. LEMA AMESEMA ANAENDA BUBGENI KUTAKA MWONGOZO WAKE UTOLEWE NA SPIKA LA SIVYO HAKITAELEWEKA HUKO MJENGONI<br />
<br />
7. LEMA AMESEMA HAITAJI KUSIFIWA NA ANA MAKINDA PAMOJA NA NDUGAI KWAN MKE WAKE ANATOSHA KUMSIFIA.<br />
<br />
8. LEMA AMEDAI HAITAJI KABISA KUSIFIWA NA WABUNGE WA CCM <br />
<br />
HAYO NDO NILIYO NASA</font></font>
<br />
<br />
mkuu hii umepost sawia hakika makamanda hawa hawana woga nadhani unakumbuka na kale kakijitabu kanachosisitza utii wa sheria, kilichotolewa na wzara mambo ya ndani
 
Namba 7 nimeipenda kwa idhini yako mkuu naomba iwe signature yangu katika ID yangu nyingine.

WAKUU KWA KIFUPI WAMEWACHANA WAKINA MKUU WA KAYA NA MTOTO WA MKULIMA

1. imewekwa CD ya yule diwani aliye fukuzwa alipo kuwa akiwasiliana na polisi ili awape hongo polisi wazuie mikutano ya chadema jijini A town.

2. DR KAWACHANA WAZIRI MKUU KWAMBA NI MUONGO SANA NA ANAO WALAKA KAMA KAWAIDA WAKUTOKA KWA IGP KWENDA KWA MAKAMANDA WA POLISI WA MIKOA YOTE WAKIAGIZWA WAWAOMBE PILISI RADHI NA WAWATULIZE POLISI KWA KITENDO CHA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KUDANGANYA TAIFA KWAMBA POLISI WANALIPWA POSHO YA 150,000 KUMBE UKWELI NI 100000.

3. Dr AMEDAI KUNA BAADHI YA POLISI WAMEANZA KUKAMATWA KWA KUDAI POSHO YA 150,000 KAMA ILIVYO TANGAZWA BUNGENI

4. KAMANDA MBOWE NAYE KAMCHANA PINDA KWAMBA ANAONGOZA KWA KUDANGANYA BUNGE AKITOA MFANO WA LEO ASUBUHI WA MASWALI YA PAPO KWA PAPO

5. KAMANDA AMWESEMA CHADEMA WAMETOA SIKU 30 MGOGORO UMALIZWE LA SIVYO LINAANZISHWA TENA.

6. LEMA AMESEMA ANAENDA BUBGENI KUTAKA MWONGOZO WAKE UTOLEWE NA SPIKA LA SIVYO HAKITAELEWEKA HUKO MJENGONI

7. LEMA AMESEMA HAITAJI KUSIFIWA NA ANA MAKINDA PAMOJA NA NDUGAI KWAN MKE WAKE ANATOSHA KUMSIFIA.

8. LEMA AMEDAI HAITAJI KABISA KUSIFIWA NA WABUNGE WA CCM

HAYO NDO NILIYO NASA
 
Sishangai kuona huo umati, kwa miaka kumi mmekuwa mkikusanya idadi kubwa ya watu kwenye mikutano yenu!<br />
Watu wanapenda tu kuja kusikia pumba zenu! Hawakubaliani na mnachoongea, ndio maana kila uchaguzi mnagaragazwa vibaya na CCM.
<br />
<br />
Laiti ungelikuwepo inamaana ucngeliogea u2mbo huu, mtzd wa leo c o ule wa juzi, pia hao madiwani hawakujichagua wao wnywe kama Nape anawataka awachukue ccm ndio hivyo tena c o bahati.
 
Hili nyomi lote mida hii saa 5.30 usiku bado liko macho???

Viva chadema viva cdm viva slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz...............????
There are currently 490 users browsing this thread. (113 members and 377 guests)
 
Tumeshuhudia wenyewe ITV wameonyesha Hongere wana Arusha kwa kuwa wanamabadiliko nyie ni chachu kazeni buti
 
Kama kusoma hawatasoma, na kusikia wasiposikia, basi waone tuu picha halafu waelewe!
 
Weekday yote kama hii watu wameacha kazi wameenda kwenye mkutano!! Tanzania tutakua maskini milele maanina zetu
<br />
<br />
wkday umeiyona wewe. Wa2 huku hakuna umeme hakuna mafuta hata ajira zao binafsi zimeCmama. Serikali yao imekaa kimya. Kwa taarifa yako huu mkutano umewapa wa2 ma2maini kwamba kupitia chama makini maisha yanawezekana.
 
Leo watu ndo kumekucha??

live longaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa cdm

There are currently 504 users browsing this thread. (109 members and 395 guests)
 
Back
Top Bottom