Tutakuletea soon za Sugu akihutubia Uma wa wana Mbeya ili usiseme tena
ataamini ikifika mwaka 2015
Tutakuletea soon za Sugu akihutubia Uma wa wana Mbeya ili usiseme tena
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hii leo kimefanya mkutano mkubwa jijini Arusha ambapo kimetoa ufafanuzi juu ya maamuzi yake kuwavua uanachama waliokuwa Madiwani wa chama hicho.
Ikumbukwe kuwa jana Godbless Lema alishatoa CD ya kuonyesha kilichojiri hadi kupelekea madiwani hawa kufukuzwa chamani.
Hii leo chama hicho kimekusanya umati wa wananchi ambapo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe amehutubia. Tutawaletea taarifa kwa kirefu lakini pata picha hizi kama zilivyowasilishwa na mdau wa JamiiForums:
Mbowe akihutubia umati wa wananchi hii leo katika uwanja wa NMC
Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria mkutano wa CHADEMA hii leo
Kimeongelewa nini, nini kilichojiri nyuma ya pazia? Fuatilia FikraPevu keshoCHANZO: CHADEMA wauteka mji wa Arusha! | Fikra Pevu | Kisima cha busara!