Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,635
- 7,918
Teh teh teeh!!<br />
<br />
kiingereza kingi bila hela ni makelele tu
Teh teh teeh!!<br />
<br />
kiingereza kingi bila hela ni makelele tu
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
Mbona sura zao hazioneshi matumaini? Yaani ni kama watu waliokata tamaa hata kabla ya mchezo. Kuna umuhimu gani kuingiza timu wakati unayetaka kucheza naye ni klabu bingwa milele? Je huku si kujitafutia kilio?
<br />Nina hoja tofauti; Philosophy inasema ukimfundisha mtoto kwamba nyumba inaitwa daraja, na mayai yanaitwa bahari, basi mtoto huyo atakuamini ila tu atatofautiana na wewe kama atakuwa mdadisi na mwenye kutaka kujua kwa nini majina hayo yanaitwa hivyo.<br />
<br />
Uwingi wa watu sio guarantee ya ushindi na wala kuvaa mavazi ya chama sio kuunga mkono mgombea, lakini sana kuunga mkono mgombea sio kumchagua kwa kuwa kura ni siri ya mtu kulingana na utaratibu ulivyo. Cha msingi hapa ni kuhakikisha kila anayeshabikia mgombea wa cdm ana kadi ya kupiga kura na ana kadi ya chama na ni mzalendo. Hilo litafikiwa kwa kufanya kampeni kwa ukaribu sana na wapiga kura, maana yake zaidi ya kupanda jukwaani ama kuporomosha muziki wa densi mikutanoni.<br />
<br />
Haina ubishi kwamba cdm sasa watanzania wanaiamini sana lakini ni wangapi wana nia ya kuipa dola? No hapo ndio tunarudi square 1 kwamba tuna kazi ngumu mbele yetu. Sina haja ya kutoa sifa kwa kitu nisichokijua kwa kuwa hakuna ajuaye kesho, ila ninashauri na kuwazua kulingana na mazingira, tunahaitaji wapiga kura na sio kujaza watu bila maana, Mrema analijua hili na gari lenye kutumia watu ili litembee matokeo yake hata 50% hakugusa.<br />
<br />
Cdm, lazima isiishie kuona watu wakijibu 'Powerrrr; bila kujua hiyo power nini maana yake na inaishia wapi; sasa kama power mbona mambo kwa sasa ni mzobemzobe halafu hatuoni maana ya power? Daima tutashauri na kutoa maono yetu ili 2015 tuchukue dola na sio kuleta picha ambazo hazina vithibitisho kwamba zina maana yeyote kwetu.<br />
<br />
JF, Napenda kutoa hoja.