Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 830
<br /><font size="4">Chonde Makamanda wa Vijana kote nchini; Kamanda Mr II na Kamanda Lema hebu shukeni pale Igunga mara moja wapiga kura vijana wanatafuta kwa udi na uvumba kusikia sauti zenu. </font>
<br />
Bila kuwasahau Mh. Zitto, Mh. Mnyika, Mh. Mdee na Mh. Regia.