Ok basi utaona picha......zenyewe haziegemei upande wowote!!!Tunataka taarifa toka kwa mtu asiyeegamia upande wowote sio wewe mungi pro-lema, au kwa lugha nyepesi independent observer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok basi utaona picha......zenyewe haziegemei upande wowote!!!Tunataka taarifa toka kwa mtu asiyeegamia upande wowote sio wewe mungi pro-lema, au kwa lugha nyepesi independent observer
Mungi wewe unatakiwa kupelekwa The Hague!huwezi kula buku 10 za CCM kisha unaenda mkutano wa CDM hehe he!Mkuu umepitwa na buku kumi leo watu tumewezeshwa hahaaaa! Ama kweli tunakula za wajinga
Ok basi utaona picha......zenyewe haziegemei upande wowote!!!
Photoshop kaka.......................
Mkuu wewe ulitakaje?Habari ya upande mmoja wa shilingi. khaaa......
Mkuu Mungi, Acha maneno mingi ebu leta hizo picha hapa tuzione usiwe kama watu wa Magamba...nipo kwanza kwenye mkutano wa mpango mkakati wa uchaguzi wa kesho
Nani huyo asiyeegamia upande wowote uliyekuwa unamtaka atupe taarifa?Tunataka taarifa toka kwa mtu asiyeegamia upande wowote sio wewe mungi pro-lema, au kwa lugha nyepesi independent observer
Ziko wapi tucheck kama ni kweli kwamba ni photoshop.....mbona mie sijaziona!Photoshop kaka.......................
Photoshop kaka.......................
Ziko wapi tucheck kama ni kweli kwamba ni photoshop.....mbona mie sijaziona!
Mungu awabariki nyote kwa kazi nzuri.nipo kwanza kwenye mkutano wa mpango mkakati wa uchaguzi wa kesho
Kwa mujibu wa halmashauri yangu ya moyoni mwangu, na kwa mujibu wa wana-Daraja mbili HAKIKA diwani ni kutoka CHADEMA.
Photoshop kaka.......................