Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Kweli vijana wanapiga kazi na sasa ninaiamini ile kauli ya hakuna kulala mpaka kieleweke. Kabla ya kuingia Morogoro, katibu Mkuu wa BAVICHA na Mwenyekiti wake walikua mkoani Rukwa walikomtesa Mizengo Pinda. Hongereni makamanda.