PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

bomoeni shoperz na my fair plaza na tmj....wale ndy source ya kujaaa maji huko hadi zile aptmnts za fidah zote zimejengwa juuuu ya mkondo wa maji....mafuriko yataendelea kuwepo na kuwepo....
 
Wakuu,mvua zinaendelea kunyesha mkoani Dar es Salaam. Sisi wakazi wa Dar sasa tunataabika pa kupita na pa kuishi. Tupeane yanayojiri yakiambatana na picha ili tujue hasa kinachoendelea jijini humu. Huku Mikocheni B,mitaro imezibuka na mambo ni mchafukoge. Tumekuwa kama washiriki wa kuruka chini katika UMITASHUMTA au UMISETA.

Hapo kwenu vipi?

Africana jana usiku ilikuwa balaa walishindwa kuvuka ilibid wavue Nguo ndio wavuke
 
ila kwa wanao iahi down town dar mvua kwao heri maana naona wanafunguliaaa chemba zao za kinyesss
 
bomoeni shoperz na my fair plaza na tmj....wale ndy source ya kujaaa maji huko hadi zile aptmnts za fidah zote zimejengwa juuuu ya mkondo wa maji....mafuriko yataendelea kuwepo na kuwepo....

Uko sawa kabisa, nakumbuka wakati niko mdogo nakaa mikocheni A. Mitaa hiyo ya maifair, tanesco n.k kulikua na mabwawa kabisa n tulikua tunavua samaki.
 
bomoeni shoperz na my fair plaza na tmj....wale ndy source ya kujaaa maji huko hadi zile aptmnts za fidah zote zimejengwa juuuu ya mkondo wa maji....mafuriko yataendelea kuwepo na kuwepo....

Na huo ndiyo ukweli webyewe!
 
Barabara kutokea Baruti kwenda Mwenge kupitia UDSM inazidi tu kumomonyoka...
Soon itakuwa haipitiki.. Kama una gari la chini jiandae kwa lolote ukiamua kuitumia ile Barabara now..
 
Uko sawa kabisa, nakumbuka wakati niko mdogo nakaa mikocheni A. Mitaa hiyo ya maifair, tanesco n.k kulikua na mabwawa kabisa n tulikua tunavua samaki.
kulukuwa na mabwawa ya samaki aina ya kamabale mm nshavua sana hapo wnz za utotoni...ndiyo wakaja jamaa hao ma tycoon wamepewa vibali wakajenga eneo hizo..ila kwanza walitakiwa kutengeneza njia ya maji....mfano ona sheli ya hapo oulcom imejaa maji kama ziwa tanganyika sijui kama tank za mafuta chini zmepona
 
Tupia na zako hapa
 

Attachments

  • 1397294930829.jpg
    1397294930829.jpg
    119.2 KB · Views: 619
LEo ni majanga kila kona. Nilikuwa na kikao na DC bagamoyo. Nimefika mapinga daraja ukingo umekatika. Nimerudi nipite Tamco kibaha nakuta foleni kali Kibamba, naambiwa daraja la Kabila ya Mizani Kibaha nalo limekatika.eeeeheh.hayo yote ukandarasi wa KI CCM.
 
Hivi kila siku itakuwa ni hivi hivi alafu badae watatuonyesha wanazunguka na helkopta kujionea badala ya kutatua tatizo ikiwezeka hata maamuzi magumu kufanyika kuepusha maafa katika jamii.
Watanganyika Mungu atusaidie sana. Kama nakumbuka vizuri hawa watu wa mabondwni si wqliambiwa wahame wakakataa eti ktk siku. 365 mafuriko ni siku nne tu, hivyo hawaoni sababu ya kuhama
 
Tangu usiku wa manane inanyesha tu...mpaka sasa..nadhani itakuwa imeacha madhara sehemu nyingi.....mpaka jioni tutakuwa tumesha pata habari kuhusu athari za hii mvua.
watu tuko ndani tangu asubuhi.
 
Back
Top Bottom