PICHA: Athari za mvua jijini Dar es Salaam

Kuna wizara ya ardhi na mipango miji,kila siku wanaaga kwend kazini.kazi yao ni ipi hasa?
 
ofcoz. ili uende chooni unahitahitaji mlo kamili. sasa kama serikali inaacha tu inflation inakuwa kama kichaa, watu hawana ajira, na matokeo yake hata mboga za majani na matunda ni anasa! unategemea watu waweze vipi kupupuu? serikali ikitimiza wajibu wake tukagawana kasungura sawasawa kila mtu ataenda chooni kwa rate nzuri na tutatunza mazingira.

ila hujajibu swali bwana, nani alaumiwe? (naonezea, na kwa nini?):confused::confused:
Wabongo tulivyo hata kunya wakishindwa watailaumu serikali.
 
Lawama ni kwa serikali tu maana hata maeneo ya Posta ambayo tunaona kuna Skyscrapers zinazomea kila leo lakini nyingi kama zake zimejengwa kimakosa.

(Msibishe bali fuatilieni ripoti ya Wakala wa Majengo ya Taifa.)
 
Mzigo huu ni wa serikali. Ulishawahi kujiuliza hao town planners wanafanya kazi gani hasa? Kila mahali jiji lina unplanned settlements. Na bado zinaendelea huko kibamba watu wanauziana hatua kumi kwa kumi na tano utadhani enzi za ujima. Na pale wanazuoni wetu waliosomea kupanga miji wanpoona haja wanahamisha watu na kuwalipa fidia kusudi watengeneze 'satelite city'. Umeshawahi kujiuliza kwa nini sateliye city isianzishwe kwenye machka ya kibaha huko tukapunguza msongamano?

serikali imefanya mipango kiasi gani kutengeneza drainage system kusudi maji yapate pa kupita? Umeshaona barabara yetu mpya na pendwa ya morogoro ambayo strabag wanaijenga kimiujiza (manake hawaonekani sijui wanajenga saa ngapi!), jinsi inavyotuama maji? Soon mafuriko yanahamia barabarani, kama wewe unakaa kilimani na unahisi hayakuhusu ngoja siku uchukuliwe na maji ukiwa brabarani ndio utaelewa pa kuto lawama.

Welsaid, hata hivyo si serikali tu ya kulaumiwa, wananchi ndio wenye kubeba zaidi lawama pamoja na udhaifu wa serikali. Binafsi ninapohitaji kujenga huwa ninaangalia mengi likiwemo hilo la mafuriko.

Nilitafuta kiwanja cha kujenga Morogoro, nikapata serikalini bila taabu cha low density, kilikuwa kipindi cha kiangazi ambapo maeneo mengi yamepimwa sehemu hiyo. Lakini nilipofanya uchunguzi wa kina niliona kiwanja hicho kina mchanga mwingi sana na katikati kumepita mkondo unaoonyesha dalili kipindi cha masika kuna maji yatokayo mlimani yanapita hapo kwa kasi. Pamoja na kwamba niliridhia kiwanja hicho lakinin nikabadili nia na kukiacha auziwe mwingine sababu ya dalili nyingi za mafuriko ingawa ni ya kupita kwa muda kwa kuwa kiko kwenye muinuko kidogo.

Anayesumbuliwa na mafuriko si serikali bali ni yeye aliyeamua kujenga hapo, hivyo makosa ni pande zote.
 
Makosa yapo pande mbili,sisi wananchi tunao jenga mabondeni,mikondo ya maji na kando ya mito na Serikali ambayo haichukui hatua stahiki pale maeneo haya yanapovamiwa na watu kujenga nyumba.
 
sasa babangu, ndo hapo nauliza town planners wanafanza nini nji hii? kama woote town planners na wataalamu wenzao wanaenda kupima kiwanja (ambacho ni ghali, tunamuongelea anaeishi jangwani mostly kwa sababu ndio kuna nyumba affordable na pengine anakwepa nauli ya kwenda kazini pia kupunguza gharama za maisha. huyu mostly ni mfanyakazi kibarua asie na ajira ya kudumu, na waziri wake kaidhinisha mshahara wa tzs 80,000/= kwa mwezi na halazimiki kumlipia bima ya afya). unaendaje kupima kiwanja mahali penye mkondo wa maji? :A S 13:

na bado tusiilaumu serikali? seriously, wanaoishi mabondeni unadhani hawangependa kuishi mbezi beach ama masaki? watu hawana choice kama unavyodhani kakangu.
Welsaid, hata hivyo si serikali tu ya kulaumiwa, wananchi ndio wenye kubeba zaidi lawama pamoja na udhaifu wa serikali. Binafsi ninapohitaji kujenga huwa ninaangalia mengi likiwemo hilo la mafuriko.

Nilitafuta kiwanja cha kujenga Morogoro, nikapata serikalini bila taabu cha low density, kilikuwa kipindi cha kiangazi ambapo maeneo mengi yamepimwa sehemu hiyo. Lakini nilipofanya uchunguzi wa kina niliona kiwanja hicho kina mchanga mwingi sana na katikati kumepita mkondo unaoonyesha dalili kipindi cha masika kuna maji yatokayo mlimani yanapita hapo kwa kasi. Pamoja na kwamba niliridhia kiwanja hicho lakinin nikabadili nia na kukiacha auziwe mwingine sababu ya dalili nyingi za mafuriko ingawa ni ya kupita kwa muda kwa kuwa kiko kwenye muinuko kidogo.

Anayesumbuliwa na mafuriko si serikali bali ni yeye aliyeamua kujenga hapo, hivyo makosa ni pande zote.
 
sasa babangu, ndo hapo nauliza town planners wanafanza nini nji hii? kama woote town planners na wataalamu wenzao wanaenda kupima kiwanja (ambacho ni ghali, tunamuongelea anaeishi jangwani mostly kwa sababu ndio kuna nyumba affordable na pengine anakwepa nauli ya kwenda kazini pia kupunguza gharama za maisha. huyu mostly ni mfanyakazi kibarua asie na ajira ya kudumu, na waziri wake kaidhinisha mshahara wa tzs 80,000/= kwa mwezi na halazimiki kumlipia bima ya afya). unaendaje kupima kiwanja mahali penye mkondo wa maji? :A S 13:

na bado tusiilaumu serikali? seriously, wanaoishi mabondeni unadhani hawangependa kuishi mbezi beach ama masaki? watu hawana choice kama unavyodhani kakangu.

Nakubaliana nawe, na ujue wengi waliojenga maeneo hayo ni zamani kidogo siku hizi si rahisi kupata eneo la kujenga. Serikali ilikuwa usingizini. Jambo la masingi ni niundo mbinu tu. Nimeona maeneo ya Keko Magurumbazi, Keko Mwanga na Keko Machungwa kumefanyika jitihada za kuyaongoza njia maji hivyo nyumba nyingi hazipatwi na tatizo hilo. Sehemu nyingi duniani maeneo kama hayo ni makazi ya watu, viwanda na magodauni. Jambo la msingi serikali kujenga miundombinu ya kuzuia maji kusambaa.

Kuwahamisha pengini ni ukatili maana aliyejenga hapo hana uwezo wa kujenga tena na ndio hazina yake ya maisha, mafuriko huja once pengine in two or three years na kwa siku chache. Kinatakiwa ni kujenga kinga maji ingesaidia.
 


Anayesumbuliwa na mafuriko si serikali bali ni yeye aliyeamua kujenga hapo, hivyo makosa ni pande zote.
Makosa ni ya wananchi wakaazi wa maeneo hayo.

1.Kuielea serikali mbovu.

2. Kujenga maeneo hayo bila miundombinu.

Mafuriko, landslides, volcanoes, earthquakes etc ni natural hazzards na kuna maeneo hata nchi za wenzetu yapo profiled kuwa ni risky areas lakini haimaanishi kuwa watu hawajengi maeneo hayo. Insurance yake na aina ya majengo ndiyo vinaweza kukufanya usijenge.
Pia kuna maeneo Dar wala siyo maeneo ya mafuriko ila mifereji imejaa maganda ya machungwa.
 
walishaambiwa wahame kama hawasikii shauri yao hapo wasitegemea msaada kutoka serikalini tena majanga tuu
 
Lawama ni kwa serikali tu maana hata maeneo ya Posta ambayo tunaona kuna Skyscrapers zinazomea kila leo lakini nyingi kama zake zimejengwa kimakosa.

(Msibishe bali fuatilieni ripoti ya Wakala wa Majengo ya Taifa.)

Na haiingii akilini kwa nini serikali inaruhuhusu skyscrapers kuendelea kujengwa katikati ya jiji na kuongeza msongomano katika barabara zake, parking zake, katika miundombinu ya maji taka n.k. Jamani waache katikati ya jiji papumue!!!!!!!!!!!
 
Mzigo huu ni wa serikali. Ulishawahi kujiuliza hao town planners wanafanya kazi gani hasa? Kila mahali jiji lina unplanned settlements. Na bado zinaendelea huko kibamba watu wanauziana hatua kumi kwa kumi na tano utadhani enzi za ujima. Na pale wanazuoni wetu waliosomea kupanga miji wanpoona haja wanahamisha watu na kuwalipa fidia kusudi watengeneze 'satelite city'. Umeshawahi kujiuliza kwa nini sateliye city isianzishwe kwenye machka ya kibaha huko tukapunguza msongamano?

serikali imefanya mipango kiasi gani kutengeneza drainage system kusudi maji yapate pa kupita? Umeshaona barabara yetu mpya na pendwa ya morogoro ambayo strabag wanaijenga kimiujiza (manake hawaonekani sijui wanajenga saa ngapi!), jinsi inavyotuama maji? Soon mafuriko yanahamia barabarani, kama wewe unakaa kilimani na unahisi hayakuhusu ngoja siku uchukuliwe na maji ukiwa brabarani ndio utaelewa pa kuto lawama.

kweli tupu
 
Mzigo huu ni wa serikali. Ulishawahi kujiuliza hao town planners wanafanya kazi gani hasa? Kila mahali jiji lina unplanned settlements. Na bado zinaendelea huko kibamba watu wanauziana hatua kumi kwa kumi na tano utadhani enzi za ujima. Na pale wanazuoni wetu waliosomea kupanga miji wanpoona haja wanahamisha watu na kuwalipa fidia kusudi watengeneze 'satelite city'. Umeshawahi kujiuliza kwa nini sateliye city isianzishwe kwenye machka ya kibaha huko tukapunguza msongamano?

serikali imefanya mipango kiasi gani kutengeneza drainage system kusudi maji yapate pa kupita? Umeshaona barabara yetu mpya na pendwa ya morogoro ambayo strabag wanaijenga kimiujiza (manake hawaonekani sijui wanajenga saa ngapi!), jinsi inavyotuama maji? Soon mafuriko yanahamia barabarani, kama wewe unakaa kilimani na unahisi hayakuhusu ngoja siku uchukuliwe na maji ukiwa brabarani ndio utaelewa pa kuto lawama.


Kwahiyo unataka kusema Watanzania hawana akili za kujipanga wenyewe hadi serikali iingilie kati?
Haiwezekani mtu una akili zake ununue kiwanja hatua kumi na mnajenga mmebanana utadhani umnatengeneza solitary confinement.
 
Kwahiyo unataka kusema Watanzania hawana akili za kujipanga wenyewe hadi serikali iingilie kati?
Haiwezekani mtu una akili zake ununue kiwanja hatua kumi na mnajenga mmebanana utadhani umnatengeneza solitary confinement.

Nchi yoyote inaongozwa na sheria tena sometimes za kidkteta ili kuleta maendeleo.Unapoona kila mtu anasheria yake mkononi.Jiulize mara mbilimbili uwezo wa hiyo serikali
 
Wakuu,mvua zinaendelea kunyesha mkoani Dar es Salaam. Sisi wakazi wa Dar sasa tunataabika pa kupita na pa kuishi. Tupeane yanayojiri yakiambatana na picha ili tujue hasa kinachoendelea jijini humu. Huku Mikocheni B,mitaro imezibuka na mambo ni mchafukoge. Tumekuwa kama washiriki wa kuruka chini katika UMITASHUMTA au UMISETA.

Hapo kwenu vipi?
 
Back
Top Bottom