GODLOVEME
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,640
- 493
Kuna wakati aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mzee Makamba aliwakemea watu wanojenga kwenye mabonde,namnukuu "hivi nyie watu mnaopenda kujenga kwenye mabonde ya mito mmekuwa vyura?" Tatizo hapa sio CCM, tatizo ni watanzania tumekuwa wabishi, hatuwasikilizi viongozi wetu mpaka maafa yatokee ndo tunaanza kuliaumu serekali! Walishaambiwa siku nyingi hawa lakini wamekuwa viziwi na sasa wanavuna walichokipanda. Ukweli ndo huo na unauma.
who sell those viwanja ni wenyekiti wa vijiji who know the historical background ya maeneo kama si serikali angalia hii kitu kwa upana usiangalie jangwa tu angalia gongo la mboto, mbezi, kimara and ubungo where are the city planners in kimara ,where are the city planner in mbezi