Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Picha Ambazo Rais Obama Hapendi wewe Uzione
Meja jenerali mstaafu wa jeshi la Marekani Antonio Taguba ambaye alifanya uchunguzi wa picha za utesaji wa wafungwa nchini Iraqi ambazo zilipigwa wakati wa utawala wa rais wa zamani wa Marekani George Bush, amesema kuwa anamuunga mkono rais Obama kuwa picha za utesaji wa wafungwa kwenye jela ya Abu Ghraib nchini Iraqi hazifai kuwekwa hadharani kwakuwa ni za kutisha sana zilizojaa ukatili na zitajenga chuki kwa askari wa Marekani. Gonga Picha ndogo kwaajili ya Picha Kubwa
Meja jenerali mstaafu wa jeshi la Marekani Antonio Taguba ambaye alifanya uchunguzi wa picha za utesaji wa wafungwa nchini Iraqi ambazo zilipigwa wakati wa utawala wa rais wa zamani wa Marekani George Bush, amesema kuwa anamuunga mkono rais Obama kuwa picha za utesaji wa wafungwa kwenye jela ya Abu Ghraib nchini Iraqi hazifai kuwekwa hadharani kwakuwa ni za kutisha sana zilizojaa ukatili na zitajenga chuki kwa askari wa Marekani. Gonga Picha ndogo kwaajili ya Picha Kubwa