Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,295
- 33,079
Picha ambazo ni vigumu kujirudia
Mkuu Pakajimmy Mshikaji wangu mbona unanivuta mguu? baada ya kuniunga Mkono unanikamata Mguu? Nashangaa Rafiki yangu mbona unasemöa hivyoo? kuhusu Fisi imetokea bahati mbaya Fisi kutaka kumkamata huyo Batamaji Huyo Bata maji Ameeingia kwenye Mawindo ya Fisi ndio maana anakamatwa Muombe huyo Batamaji asikamatwe akailiwa na Fisi nakuachia hapo angalia mwisho wake itakuwaje? Je Fisi atamla Bata Maji?Ni vigumu kujirudia kivipi?
Mkuu labda bado sijakupata vizuri hapo.
Maana sioni ni kwavp fisi hatarudia kumfukuza huyo batamaji!