Ndugu zangu wasimamizi wa nchi hii wamechoka kiasi kwamba hata watedaji wamejisahau. Mwaka wa kuwaweka wasimamizi wenye kujua wajibu wao ndio huu, jamani watanzania wenzangu tunakila sababu ya kuipumzisha rangi ja kijani.
Ee bwana wa jameni mi nlikua nasikia ajali tu ilitokea kibamba
leo ndo nimeona picha alisi ilivyokua jasho limenitoka ama kweli ujafa aujaumbika
vyote ni vifo lakini ihh its to much MUNGU MUWEZA WA YOTE AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU
MAHALI PEMA PEPONI AMEN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.