Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
- Thread starter
- #21
Hii kali..
Mbona za wale wanao gandana hatujaziona?...
Udhalilishaji wa utu wa binadamu uliopitiliza.......in fact tuna vyombo Kama Mahakama na polisi, hivi vipo kulinda usalama wa Raia na kutoa haki(Mahakama). Inakuwaje umtoe roho binadam mwenzako kisa umemkuta na waifu!? I stand to be corrected!
ANGALIZO:
mleta maada, unanufaikaje na matukio haya?