MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wakikata mauno.
Awali, Wema alionekana akimtunza fedha pamoja na mikufu ya dhahabu yenye thamani kubwa na ilipoisha sherehe ya maulid ndipo mastaa hao waliwasha muziki na kuanza kulisakata rumba.
Sisi tumecheza tumefurahi tu hawa waliofunga mtaa kututazama watakuwa wanataka kuona mavituzi yetu, alisema Wema.