hahaha kaka mimi ni freelance graphics designer, ila mara nyingi hufanya haya mambo for funny na sijawa serious kibiashara...
mostly nitapost chochote hapa ili kuinspire upcoming designers nao waone inawezekana...
new designer like me maana natamani sana.. na adobe 7 inanishinda mpaka basi..
pole pole utafika mkuu muhimu uwe na passion(shauku) ya kutaka kujua halafu uwe na jicho la tatu(fikiria nje ya boksi)...
Hizi packages za Adobe zisikupe shida sana unaweza kustick na ile uliyoimaster vizuri an still you can deliver...
Muhimu pitia sana tutorial za wenzetu wa mbele na kufanyia mazoezi mbona within short time tu utatisha...
na mi najaribu bwana leh
View attachment 69816
hii simcard ya jf modal wangu ni dada yetu wa hapa hapa jf bibie fatma bawazir
-huu mtandao ceo wake e2themiza na kasema hauna vocha kila siku anaachia hole moja la net so its up to you
kama picha inaonekana ndogo iclick kuview kwa ukubwa
Mie giza tupu kwenye haya madude!!!!
Naomba direction magwiji wa humu jamvini
hahaha kaka mimi ni freelance graphics designer, ila mara nyingi hufanya haya mambo for funny na sijawa serious kibiashara...
mostly nitapost chochote hapa ili kuinspire upcoming designers nao waone inawezekana...
leh na C6 wapi naweza pata 2torial ya haya madude kwa kuanzia na photoshop CS3
pouwa kamanda ntajaribukwanza lazima uwe mchunguzi, then google chochote unachotaka kujua kuhusu adobe ps, hata km hujui kufungua, we google shida yako utapata majibu, ukishindwa lete hapa utapata msaada
Kesi ipo mahakamani, natafuta lawyer
Kama utaniwakilisha njoo nyumbani tuongee.
Ukija tutakunywa chai. hahahaha