KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Pata picha ya kilichojiri leaders club leo wakati wa hafla na dua/maombi maalum ya kila mwaka kuwakumbuka watu wa mjini waliotangulia mbele ya haki kutoka BRITISH LEGEON,SAIGON KARIAKOO,TAZARA CLUB,CHECK POINT,SINGA SINGA N.K. Ama kwa Hakika leaderz ilitakata.........Gonga hapo chini kwa mapicha kibao..
matukio-michuzi: hafla ya kila mwaka ya kuwakumbuka ndugu, jamaa na marafiki waliotutangulia mbele ya haki yafanyika jioni hii leaders club jijini da
matukio-michuzi: hafla ya kila mwaka ya kuwakumbuka ndugu, jamaa na marafiki waliotutangulia mbele ya haki yafanyika jioni hii leaders club jijini da